
Kama utaamka na uchovu au uumwaji wa kichwa uliosababishwa na unywaji wa pombe fanya mambo yafuatayo:-
1. Kunywa maji mengi mara tu unapoamka
2. Kama utaumwa na kichwa ni vizuri kutumia dawa yenye Asprini
3. Unashauriwa kuoga maji ya uvuguvugu kwani yanasaidia kupunguza toxini mwilini
4. Unashauriwa kula ndizi mbivu 2 hadi 3 kabla ya kupata kifungua kinywa
5. Kunywa mchanganyiko wa juice ya limao au ndimu na kikombe 1 cha kahawa nyeusi
No comments:
Post a Comment