Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, September 30, 2009

Dawa ya Mning'inio( Hangover ) hii hapa


Kama utaamka na uchovu au uumwaji wa kichwa uliosababishwa na unywaji wa pombe fanya mambo yafuatayo:-

1. Kunywa maji mengi mara tu unapoamka

2. Kama utaumwa na kichwa ni vizuri kutumia dawa yenye Asprini

3. Unashauriwa kuoga maji ya uvuguvugu kwani yanasaidia kupunguza toxini mwilini

4. Unashauriwa kula ndizi mbivu 2 hadi 3 kabla ya kupata kifungua kinywa

5. Kunywa mchanganyiko wa juice ya limao au ndimu na kikombe 1 cha kahawa nyeusi

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote