Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, September 30, 2009

Mwanaume mmoja afunga ndoa na wanawake 4 kwa wakati mmoja

Mwanamme mmoja huko Afrika ya kusini kafunga ndoa na wanawake 4 kwa wakati mmoja . Mwanaume huyo anayejulikana kwa jina la Milton Mbhele mwenye umri wa miaka 44 aliingia kwa mbwembwe sehemu ya sherehe hizo huku akitumia usafiri wa gari ya kifahari aina ya limousine na kuwavisha pete na kuwabusu wake zake wote kwa zamu. Bwana harusi alisema harusi hii ya mara moja imemsaidia sana kubana matumizi kuliko angefunga harusi 4 tofauti. Serikali ya Afrika ya Kusini inatambua harusi za namna hii na imekuwa jambo la kawaida kwa watu wa jamii ya Wazulu alikotokea Raisi wa nchi hiyo Jacob Zuma ambaye nae ana wake 3.
Hii ni picha inayomuonyesha Milton akiwa na wake zake wote aliowaona kwa wakati mmoja

1 comment:

Anonymous said...

The рost features confіrmed benеficial to me pеrsοnally.
It’s extremely informаtіve and you reallу are obviously very educated in thіs агea.
You posѕess opened up my personal fаce
in order tо numerouѕ views on this
subject аlong wіth intriguing and
sound content.

Vіsit my ωеblog :: viagra
Look at my homepage buy viagra online

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote