Michirizi, mipasuko, mistari au kwa kitaalum Strech marks
inasababishwa na vitu vifuatavyo:-
- Ujauzito
- Kuongezeka kwa mwili (unene)
- Ukuaji wa haraka wakati wa kubalehe
- Mabadiliko ya mwili
Lakini hii hali inaweza kupotea kabisa iwapo utafanya mambo yafuatayo:-
1. Upakaji wa mafuta laini (Lotion) aina ya
Vaseline Intensive care tumboni katika kipindi chote cha
ujauzito kinasaidia kutopata tatizo hili.
2. Upakaji wa srub ya Apricot ni dawa ya haraka ya tatizo hili
3. Upakaji wa Mafuta ya Lavender mara 2 kwa siku yanaondoa
tatizo hili kwa muda mfupi sana
4. Mchanganyiko huu ni dawa nzuri na ya kuaminika,
ni vizuri ukihifadhi mchanganyiko wako ndani
ya Friji kwa kipindi chote cha matumizi.
- 1/2 kikombe cha olive oil
- 1/4 kikombe cha alove vera gel
- Majimaji ya vidonge 6 vya vitamini E
- Majimaji ya Vidonge 4 vya Vitamini A
3 comments:
Asante kwa msaada wako .je alovera gel ni ile gel ilokuepo kweny mti wake au? Na majimaji ya vitamini ana e unayayusha vidonge kwenye maji au yanauzwa tayar? Asante
Asante dada je cocoa butter Hollywood from USA je haisaidii????
Asanteee kwa msaada lakina izo hatua natumia zote au nachagua nafuu moja ndo natumia??
Post a Comment