Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Friday, November 27, 2009

CHOKORAA apewa kadi ya Njano Twangapepeta

RAPA wa bendi ya Twanga International, Khalid Chuma ‘Chokoraa’ amesimamishwa na uongozi wa bendi hiyo kutokana na sababu za kuchochea tabia ya utovu wa nidhamu ndani ya bendi. Habari za kusimamishwa kwa msanii huyo zilipatikana Jumatano usiku katika ukumbi wa Club Bilicanas ambapo msanii huyo anakabiliwa na shutuma za kuanzisha kundi la Mapacha Wanne ambako wamekuwa wakifanya kazi bila ya kupata idhini kwa mwajiri wao.Mkurugenzi Mtendaji wa bendi ya hiyo, Asha Baraka, alisema ndani ya ukumbi wa Club Bilicanas kwamba wamefikia hatua hiyo kwakuwa Chokoraa ndiye kinara na tayari uongozi ulimpa onyo la kuacha kuchochea mgomo kwa wasanii wengine ambao ni Charls Gabriel ‘Chalz Baba’ na Kalala Hamza Kalala ‘Kalala Junior’ kutoka African Stars ‘Twanga Pepeta’ na Jose Mara wa FM Academia

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote