Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Friday, November 27, 2009

Tibaigana atengua hukumu ya kifungo cha maisha kwa OTHUMAN KAZI

MWENYEKITI wa Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kamishna mstaafu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Alfred Tibaigana, amemfutia adhabu ya kufungiwa maisha mwamuzi Othman Kazi. Tibaigana alisema mchana huu kwamba, kamati yake imelizika na hoja ya utetezi kutoka kwa Kazi na sasa atafungiwa kwa muda wa miezi mitatu pekee.“Kamati imeona hana hatia ya kufungiwa maisha kutokana na utetezi wake, badala yake tumempa adhabu ya kutojihusisha na SOKA kwa miezi mitatu tu,”

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote