Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Monday, November 30, 2009

D Banj awapagawisha Wabongo

Mwanamziki mahiri kutoka Nigeria anayetamba na kibao cha ‘FALL IN LOVE’, D Banj, jana amedhihirisha maana halisi ya jina la mwimbo anaotamba nao kwa sasa ‘FALL IN LOVE’, baada ya kuhakikisha ya kwamba mashabiki waliokuja kumtazama wame fall in love naye. Msanii huyo alikuwa anatumbuiza katika tamasha la Intercollege Special 2009 lililodhaminiwa na kampuni ya Sigara Tanzania TCC. Pamoja na msanii huyo, tamasha hilo lilitumbuizwa na wasanii lukuki. toka Tanzania TID, Marlaw, CPwaa, Quick Racker, Joh Makini, Ally Kiba na wengine wengi. Kutoka Kenya alikuwepo Nameless, Nonini na Juacali.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote