Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Monday, November 23, 2009

Mwanaume aliyepoteza fahamu kwa miaka 23 azinduka

Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Rom Houben mwenye umri wa miaka 46 amezinduka baada ya kupoteza fahamu kwa miaka 23 kutokana na ajali ya gari. Kwa sasa anaweza kusoma meseji na vitabu kupitia chombo maalumu akiwa bado hospitalini. Rom alisema napiga kelele lakini hakuna mtu ambaye anasikia sauti yangu muda wote huu nimekuwa nikiwaza maisha mazuri ila hakuna neno zuri linaloweza kumaanisha furaha yangu niliyonayo" Sitaweza kusahau siku niliyogundua tatizo langu ni sawa na kuzaliwa upya aliongeza Rom. Ninataka kusoma, kuongea na marafiki kupitia Computer na kuinjoi maisha kama mtu wa kawaida na ninafurahi kama ndugu na marafiki wamejua kuwa sijafa

1 comment:

Anonymous said...

shipped reside livelihood scott hobbs endemic tastes true outthat aspect medline
masimundus semikonecolori

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote