Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Monday, November 30, 2009

Kwa sasa nipo busy na Muziki shule baadae

Baada ya kutamba na single zake za ‘Tabasamu’ na ile inayotamba kwasasa ‘Tupo pamoja’ Dogo mwenye uwezo mkubwa wa kuishi kistaa, Heri Samir ‘Blu’ amesema kuwa hivi sasa kizungumzia ishu ya shule atakuwa anadanganya kwa sababu haipo kwenye programu yake. Blu, staa wa Bongo Flava asiyefunikika, alisema kupitia kipindi kimoja cha kinachorushwa na Radio moja jijini kuwa ana mambo mengi yanayomkip busy lakini ishu ya elimu haipo kwenye ratiba yake. Dogo huyo ambaye anajulikana pia kwa jina la Kabayser, alizungumza hivyo kama jibu la swali liloulizwa na presenta wa kipindi hicho. Mbali na ishu ya elimu, Blu alisema kuwa sasa hivi hayupo kwenye mikakati ya albamu, isipokuwa atakachokuwa anakifanya ni kudondosha singo kali kila mara ili kuwapa raha mashabiki wake.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote