
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Rom Houben mwenye umri wa miaka 46 amezinduka baada ya kupoteza fahamu kwa miaka 23 kutokana na ajali ya gari. Kwa sasa anaweza kusoma meseji na vitabu kupitia chombo maalumu akiwa bado hospitalini. Rom alisema napiga kelele lakini hakuna mtu ambaye anasikia sauti yangu muda wote huu nimekuwa nikiwaza maisha mazuri ila hakuna neno zuri linaloweza kumaanisha furaha yangu niliyonayo" Sitaweza kusahau siku niliyogundua tatizo langu ni sawa na kuzaliwa upya aliongeza Rom. Ninataka kusoma, kuongea na marafiki kupitia Computer na kuinjoi maisha kama mtu wa kawaida na ninafurahi kama ndugu na marafiki wamejua kuwa sijafa
1 comment:
shipped reside livelihood scott hobbs endemic tastes true outthat aspect medline
masimundus semikonecolori
Post a Comment