Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Tuesday, October 27, 2009

ADHT karibuni nyumbani karibuni Tanzania

Rais Jakaya Kikwete, akikata utepe ulio mithili ya mnyororo kuzindua rasmi kongamano la tano la Watu Wenye Asili ya Afrika Ulimwenguni (African Diaspora Heritage Trail(ADHT), jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni waziri wa Maliasili na Utalii Shamsa Mwangunga, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dk Gaynelle Henderson, Mkurugenzi wa mikutano na ushirikiano wa tasisisi hiyo. Jacob Henderson.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote