Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Monday, October 26, 2009

Ashikiliwa kwa kumlawiti binti yake

MWANAUME mmoja aitwae Daniel Makundi (40) anashikiliwa na Polisi mkoani Tanga kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Simon Sirro, alisema tukio hilo lilitokea juzi, majira ya 7 za usiku katika Kata ya Nguvumali mkoani humo.Kamanda huyo alisema kuwa mtoto huyo alipohojiwa na jeshi hilo alieleza kuwa ni mara kwa mara mzazi wake huyo alikuwa anamfanyia kitendo hicho.Na kusema hiyo ni mara yake ya sita kufanyiwa kitendo hicho na ndipo ilipogundulika.Kamanda huyo amesema kuwa katika uchunguzi uliofanyika na madaktari ilibainiuka kuwa mtoto huyo alishawahi kufanyiwa kitendo hicho kabla ya hapo.Hivyo mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani mwanzoni mwa wiki ijayo ili kujibu shtaka linalomkabili.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote