Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Tuesday, October 6, 2009

Una tatizo la Gesi? hii ni habari njema kwako

Acid (Gastritis)

Mambo yanayosababisha
· Unywaji wa pombe kupitiliza
· Magonjwa ya Peptic Ulcer
· Magonjwa ya Pernicious Anemia
· Ulaji wa vyakula vyenye viungo vingi

Tiba
1. Unywaji wa maji ya madafu hulifanya tumbo liwe katika hali ya kawaida kwa muda mfupi
2. Unywaji wa maji ya uvuguvugu kiasi cha lita 1 kwa siku kabla ya kula kitu chochote ni tiba nzuri kwa Acid
3. Kunywa ½ Lita ya juice ya nyanya kila siku kabla ya kunywa chai
4. Pendelea kunywa freshi juice na maji mengi kwa siku
5. Kunywa juice ya mchanganyiko wa 200ml ya spinach na 300ml ya carrot kwa siku

Ushauri
Kabla hujaanza kutumia tiba hii jaribu kufanya vipimo ili uwe na uhakika na tatizo .Pia unashauriwa kupunguza matumizi ya pombe,uvutaji wa sigara au matumizi yoyote ya vitu vyenye Nicotine, ulaji wa vyakula vyenye viungo vingi , pilipili, kahawa na chai kavu. Unaweza kuona matokeo mazuri ya tatizo lako baada ya mwezi mmoja kama utafuata masharti.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote