Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, October 21, 2009

Ndoa ya Monaliza Chinda yafikia Kileleni

Nyota wa Filamu za Kinegeria Monalisa Chinda, Ijumaa iliyopita alitoa kauli rasmi kuhusu kufa kwa ndoa yake iliyodumu kwa miaka mitano , katika wakala wake Monalisa mama wa mtoto mmoja wa kike (Tamar Kirejesu) amesema ndoa yake ni sawa na ndoa nyingine yoyote na ilikuwa na matatizo sawa na ndoa yoyote, aliongeza kwa kusema alimpenda na kumthamini mume wake kama ilivyotakiwa lakini anahisi kuwa kuna baadhi ya sehemu walikuwa na tofauti kama binadamu wa kawaida na ndizo zilizowapelekea wasipate suluhu na kusababisha kuachana, licha ya kuachana Monalisa amesisitiza atachukua jukumu la kumlea mtoto wao na kuendelea kumuheshimu baba mtoto wake na anamtakia kila la heri katika maisha yake mapya.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote