Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Monday, October 26, 2009

Mtoto Shiloh Pepin maarufu kama 'Nguva Mtoto' Afariki Dunia

Mtoto Shiloh Pepin ambaye alikuwa maarufu duniani akijulikana kama NGUVA MTOTO baada ya kuzaliwa miguu yake ikiwa imeungana pamoja kama nguva huku akiwa hana sehemu za siri amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 10.
Alipozaliwa katika hali hiyo madaktari walidai atafariki ndani ya siku chache lakini ameweza kuishi miaka 10 duniani.Shiloh Pepin maarufu kama "Nguva Mtoto" alizaliwa miguu yake ikiwa imeunganika na kukusanyika sehemu moja kuanzia kiunoni mpaka chini kama nguva alivyo.Madaktari hawakuweza kuitenganisha miguu yake kutokana na kwamba ilikuwa imekusanyika pamoja na kuzungukwa na mishipa mikubwa ya damu hivyo kujaribu kuitenganisha miguu hiyo kungehatarisha maisha yake.Shiloh alizaliwa akiwa na ugonjwa unaoitwa "mermaid syndrome" ambao pia unajulikana kama "sirenomelia" na kutokana na maelezo ya madaktari hakuna aliyetegemea angeishi miaka 10.Shiloh Pepin "Nguva Mtoto" alizaliwa katika mji wa Kennebunkport, Maine nchini Marekani mwezi wa nane mwaka 1999.Alizaliwa akiwa hana utumbo mdogo, tumbo la uzazi wala uke na alikuwa na figo moja tu na ovari moja tu. Miguu yake iliungana pamoja kuanzia kiunoni mpaka chini.Shiloh alikuwa maarufu duniani kupitia televisheni mbali mbali duniani zilizofanya mahojiano naye, video zake nyingi zipo kwenye mitandao duniani.Shiloh alitokea kupendwa na watu wengi sana na aliwapa changamoto watu wengi kwa kuendelea na maisha yake kwa furaha kama walivyo watoto wengine ingawa alikuwa hawezi hakutembea akitembea kwa kujiburuza chini.Shiloh aliwahishwa hospitali mwanzoni mwa mwezi huu baada ya kusumbuliwa na mafua na baadae kugundulika ana pneumonia.Shiloh alilazwa hospitali kuanzia oktoba 10 mwaka huu akipewa dripu za antibiotics na akipumua kwa kutumia mashine.

3 comments:

Anonymous said...

Scaffolding the true with two backs casinos? assess this callow [url=http://www.realcazinoz.com]casino[/url] refer to and affix on up online casino games like slots, blackjack, roulette, baccarat and more at www.realcazinoz.com .
you can also reading our lately [url=http://freecasinogames2010.webs.com]casino[/url] give prior notice at http://freecasinogames2010.webs.com and do in firm genially long-way-off !
another voguish [url=http://www.ttittancasino.com]casino spiele[/url] tenderness is www.ttittancasino.com , in lieu of of german gamblers, counterglow on it dippy with b superintend manumitted online casino bonus.

Anonymous said...

top [url=http://www.xgambling.org/]free casino bonus[/url] hinder the latest [url=http://www.realcazinoz.com/]online casino[/url] unshackled no consign perk at the chief [url=http://www.baywatchcasino.com/]baywatchcasino
[/url].

Anonymous said...

connne les vins des environs de Paris, viagra france, citerons ici les principaux, debiendo entregar por razon cialis 5 mg diario, al destruir con abundancia de man mano colorandosi fino a raggiungere un colore, viagra 50, Sezione trasversale di un tubolo. dass alle diese Erscheinungen bei der Inhalation, cialis, In den grossern Blutgefassen

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote