Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, October 21, 2009

Tulikupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi - Buriani Masanja

Masanja Enzi za Uhai wake

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera akiweka shada la maua katika jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu masanja mara baada ya kutoa heshima za kwenye uwanja wa uhuru.

Waombolezaji wakiwa wameibeba mwili wa aliyekuwa meneja wa uwanja wa Uhuru, Celestine Charles Masanja wakati wa kutoa heshima za mwisho zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote