Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Monday, October 26, 2009

Kitu gani chamrudisha IRENE UWOYA ?

Hatimaye Mrembo huyu inasemakana yupo jijini ikiwa ni miezi mitatu tu tangu alipofunga ndoa na mcheza soka wa kimataifa wa Rwanda anayejulikana kwa jina la Kataut , anayeishi ndani ya jiji la Nicosia, Cyprus ambako anacheza soka la kulipwa kwenye Klabu ya AEL Limassol., inasemekana Kataut alisaini mkataba wa miaka mitatu na Limassol Julai 18, mwaka huu, hata hivyo kutokana na mkataba huo inaonyesha ana muda mrefu wa kuishi katika kisiwa hicho cha Cyprus ambacho ni cha tatu kwa ukubwa kwenye Bahari ya Mediterranean.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote