
Chanzo cha habari kimesema Stephen mwenye umri wa miaka 33 alienda kulala kama kawaida lakini hakuweza kuamka asubuhi. Mwanamuziki mmojawapo wa Band Ronan Keating amesema kundi limepata pigo kubwa kutokana na kifo hiki. Stephen kakutwa umauti akiwa na partner wake wa miaka mingi ambaye walifungua ndoa ya watu wenye jinsia moja 2006 anayejulikana kama Andrew Cowles. Wanamuziki 4 waliosalia katika kundi la Boyzone wamesafiri asubuhi ya leo kuelekea"Majorca .
No comments:
Post a Comment