Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Tuesday, October 13, 2009

Mwanamuziki wa Kundi la Boyzone Stephen Gately amefariki Dunia akiwa katika mapumziko huko Majorca


Chanzo cha habari kimesema Stephen mwenye umri wa miaka 33 alienda kulala kama kawaida lakini hakuweza kuamka asubuhi. Mwanamuziki mmojawapo wa Band Ronan Keating amesema kundi limepata pigo kubwa kutokana na kifo hiki. Stephen kakutwa umauti akiwa na partner wake wa miaka mingi ambaye walifungua ndoa ya watu wenye jinsia moja 2006 anayejulikana kama Andrew Cowles. Wanamuziki 4 waliosalia katika kundi la Boyzone wamesafiri asubuhi ya leo kuelekea"Majorca .

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote