NEDKO Stanchen (34) na mkewe Stella Nedelcheva (28) raia wa nchini Bulgaria walioiba fedha zaidi ya shilingi Mil 70 kutoka kwenye mashine ya ATM ya Benki ya Baclays kesi yao imepigwa kalenda na kuahirishwa kwakuwa upelelezi wa shauri hilo kudaiwa kuw
Watuhumiwa hao walifikishwa leo mbele ya Hakimu Mkazi, Bingi Mashabara ambaye ameahirisha kesi hiyo kwa sababu hiyo na kupanga tarehe nyingine ya kusikiliza shauri hilo. Kesi hiyo ilikuja mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutajwa.Washitakiwa hao wanadaiwa kuwa Julai mwaka huu waliiba katika mashine za kutolea fedha za ATM sh.milioni 14.5 mali ya Baclays.Kesi hiyo itakuja tena mahakamani hapo, Novemba 2, mwaka huu.
Watuhumiwa hao walifikishwa leo mbele ya Hakimu Mkazi, Bingi Mashabara ambaye ameahirisha kesi hiyo kwa sababu hiyo na kupanga tarehe nyingine ya kusikiliza shauri hilo. Kesi hiyo ilikuja mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutajwa.Washitakiwa hao wanadaiwa kuwa Julai mwaka huu waliiba katika mashine za kutolea fedha za ATM sh.milioni 14.5 mali ya Baclays.Kesi hiyo itakuja tena mahakamani hapo, Novemba 2, mwaka huu.
No comments:
Post a Comment