Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, October 28, 2009

Wazungu wezi kutoka ATM machine wapigwa kalenda

NEDKO Stanchen (34) na mkewe Stella Nedelcheva (28) raia wa nchini Bulgaria walioiba fedha zaidi ya shilingi Mil 70 kutoka kwenye mashine ya ATM ya Benki ya Baclays kesi yao imepigwa kalenda na kuahirishwa kwakuwa upelelezi wa shauri hilo kudaiwa kuw
Watuhumiwa hao walifikishwa leo mbele ya Hakimu Mkazi, Bingi Mashabara ambaye ameahirisha kesi hiyo kwa sababu hiyo na kupanga tarehe nyingine ya kusikiliza shauri hilo. Kesi hiyo ilikuja mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutajwa.Washitakiwa hao wanadaiwa kuwa Julai mwaka huu waliiba katika mashine za kutolea fedha za ATM sh.milioni 14.5 mali ya Baclays.Kesi hiyo itakuja tena mahakamani hapo, Novemba 2, mwaka huu.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote