Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, March 31, 2010

KOVA aamuru kufungwa kwa BAR zote zilizopo karibu na Vituo vya POLICE

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova ameagiza baa zote zilizopo karibu na vituo vya polisi katika jiji la Dar es Salaam zifungwe sizieneldee na biashara hiyo kwa usalama zaidi wa vituo. Kamanda Kova alitoa tamko hilo jana ofisini kwake wakati akizungumza na waandishi wa habari.Amesema lengo la kufunga baa hizo ni kupisha usalama wa vituo na kupisha huduma hiyo muhimu ambayo baa imeonekana ni moja ya vikwazo inayoikabili vituo hivyo.Amesema baa hazina umuhimu kama vituo vya polisi na wanafanya mpango ubadilishwa kuendesha shughuli hizo na kupewa leseni za kuwa maduka ya bidhaa nyingine za kawaida.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote