Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, March 25, 2010

Mtoto mwenye jumla ya vidole 31 afanyiwa Operation



Mtoto mmoja wa Kiume nchini China ambaye amezaliwa akiwa na jumla ya Vidole 31 amefanyiwa operation wa kutolewa vidole vya ziada , Inasemekana kuwa operation hiyo iliyodumu kwa masaa 6 1/2 ilifanyika katika Hospitali ya Shengjing huko Shenyang China, katika Operation hiyo Madaktari walifanikiwa kutoa vidole 11 vya ziada ambavyo baadhi ya vidole vya mikono vilikuwa vimeungana .Kutokana na maelezo ya mama wa mtoto huyo , mwanawe alipachikwa jina la "Monster" na watoto wenzake darasani (chekechea) na inasemekana kuwa akawa mtu wa kwanza kuwa na Vidole vingi duniani kwa madai ya Gazeti la Daily Mail. Moja ya mguu wake ulikuwa na vidole 7 na mwingine 8, mkono mmoja ulikuwa na vidole 3 vilivyoungana na mwingine ukiwa na 4 vilivyoungana pia.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote