Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, March 31, 2010

Tahadhari kwa wanywaji wa Windhoek na Heineken

KAMPUNI bia ya Mabibo Beer inspirit ya jijini Dar es Salaam imetoa tahadhari kwa wananchi kwa kuwa na wimbi kubwa la uingizwaji wa bia bandia nchini aina ya Heineken na Windhoek. Kampuni hiyo imesema vinywaji hivyo huingizwa nchini kupitia wao lakini kwa sasa kuna watu binafsi wamejitokeza kuingiza bia hizo bandia na kuzisambaza wakitumia nembo hizo kinyume na sheria.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote