Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, March 25, 2010

Mzungu wa Hilton Hotel Dar atupwa selo kwa kumpiga na kumtusi mfanyakazi wake

Kuna Tetesi kuwa General Manager wa Hoteli moja ya Kitalii iliyoko ufukweni ya Hilton the Double Tree ambaye ni Mzungu ameswekwa Rumande kwa kosa la kumpiga mfanyakazi na kumtusi eti sura yake inafanana na Nyani.Taarifa zaidi zimebainisha kuwa mpaka sasa mzungu yuko selo baada ya kukosa mdhamini.

1 comment:

Anonymous said...

Hii ni Hilton ya wapi

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote