Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, February 18, 2010

Agongwa na Kufa akitoroka matibabu Hospital

KIJANA Musa anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20-25, amegongwa na gari wakati akitoroka matibatu katika hospitali ya Temeke ya jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Temeke, Faustine Shilogile, alisema jana kuwa, Alisema marehemu huyo ambaye alikuwa akisumbuliwa na malaria kali alikuwa akitibiwa hospitalini hapo na aligongwa na gari jana alfajiri katika Barabara ya Sokoine wakati akitoroka matibabu.Alisema mashuhuda walimuona Musa akitoka hospitalini hapo huku akikimbia na baadae wakapata taarifa kuwa amegonjwa katika barabara hiyo majira hayo ya alfajiri.Mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitalini, na polisi wanaendelea kumtafuta dereva aliyesababisha kifo hicho.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote