Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Wednesday, February 24, 2010

Diamondi Musical Interantional kutambulisha wanamuziki wapya Ijumaa, Mulemule ndani ya Nyumba?!!

Bendi ya muziki wa dansi ya Diamond Musica International Ijumaa ya tarehe 26 mwezi huu watafanya utambulisho wa wanamuziki wapya akiwemo mwimbaji mahiri wa bendi ya FM academia Mulemule ambaye amehamia kwenye bendi hiyo hivi karibuni. Utambulisho huo utafanyika ijumaa jioni katika ukumbi wa Vatican city sinza jijini Dar es Salaam. Akiongea kiongozi wa wanenguaji Baby Bus alisema kuwa wamejiandaa na shoo hiyo ambayo itakuwa ya kihistoria hapa nchini .Aliwataja wanenguaji wengine ambao watashirikiana kuwasha moto jukwaani hapo alisema safu yao itawakirishwa na Baby Full, Janeth Mrisho na Korando Mikololo.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote