Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Tuesday, February 16, 2010

Mambo usiyoyajua kuhusu Flora Mbasha

Jina Halisi : Frola Henry Mayallah
Kuzaliwa: 1983
Jina la Baba : Henry Mayallah
Jina la Mama : Caroline Moses Kulola
Kabila : Msukuma
Ndugu : Benjamini, Dorcus, Suzy & Esther
Shule aliyosoma : Taqwa Secondary school Mwanza
Mume : Emmanuel Mbasha
Mtoto : Eliza
kikundi cha kwanza kuimba : Bugando Divine Singer Mwanza
Vitu anavyopenda : Kuimba na kuchati na marafiki
Flora aliolewa na Emmanuel Mbasha tarehe 22/09/2002 katika kanisa la E. A. G. T Mwanza na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike anayejulikana kwa jina la Eliza, na tumegundua kuwa Flora ni mjukuu wa mchungaji maarufu nchini Moses Kulola ( yaani ni babu yake mzaa Mama)

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote