Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, February 25, 2010

Ukweli kuhusu Irene Uyowa kurudi Bongo huu hapa!!

“Nahisi kuna watu wanataka nipewe talaka, wananiombea hivyo, lakini nataka watu wajue kuwa Ndikumana (Hamad) hawezi kuniacha, na siwezi kuachika,” alisema Irene na kuongeza: “Mimi najua kuolewa lakini sijui kuachwa, nimekuja hapa Bongo kwa sababu ni nyumbani kwetu, sikatazwi, lakini naona mambo yamezidi, kila nikirudi hapa naambiwa nimeachwa.”Irene alisema kuwa kwa sasa amekuja nchini kwa lengo moja tu kucheza filamu, kuhusu muda gani atautumia nchini alizungumza kwa msisitizo kwamba huo ni uamuzi wake hata kama atakaa mwaka.“Nitakaa mwaka, na Ndikumana hawezi kuniacha, au nikupe namba ya simu uzungumze naye?” Aliuliza Irene lakini mwandishi wetu alipokubali, alikata simu na kuingia mitini.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote