Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, February 25, 2010

Mwanaume mwenye nywele ndefu duniani afariki Dunia


Urefu halisi wa nywele zake ni mita 6.8. Kutokana na maelezo ya Mke wake Tran Van Hay's alianza kufuga nywele zake miaka 50 iliyopita , na hii ilisababishwa na kuumwa kila aliponyoa nywele hizo. Aliishi maisha ya kawaida sana kama tabibu wa tiba za asili, hakuna pikipiki iliyoweza kumbeba kutokana na kushindwa kuvaa Helmet na majira ya mchana alikuwa anaziviriga nywele zake na kuzibeba kichwani kama ndoo huku zikisaidia na kitambaa, Hay alifariki jana huko Kien Giang kusini mwa Vietnam akiwa na miaka 79

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote