KAMPUNI ya Bia nchini (TBL) imetangaza kupandisha bei ya bia rejareja na jumla kuanzia leo Jumanne. TBL imeagiza kwamba, nyongeza ya bei ya chupa moja kwa mnywaji isizidi sh 100. Kampuni hiyo imesema, bei imeongezeka kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa bei ya malighafi, kupanda gharama za uzalishaji, usafiri, mafuta, na mabadiliko ya kiwango cha kubadilisha fedha. Baadhi ya bia zenye ujazo wa mililita 500 zilizokuwa zikiuzwa mtaani sh 1,300 sasa zitakuwa sh 1,400 ambazo ni Safari lager, Kilimanjaro, Bingwa, Ndovu special Malt na balimi. Kwa baadhi ya bia zenye ujazo wa mililita 330 ambazo zitauzwa sh 1,200 kwa rejareja ni Safari Lager, Kilimanjaro, na Tusker Lager.
Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
VJN Super Motors
Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote
No comments:
Post a Comment