Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Tuesday, February 23, 2010

Manara aendelea Kusota Lupango

ALIYEKUWA Katibu Mwenezi wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Haji Manara, ameendelea kusota rumande baada ya kushindikana kwa utaratibu wa kumwekea dhamana katika kesi inayomkabili ambapo anadaiwa kufanya utapeli uliohusisha magari ya kukodi. Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Katika tukio la aina yake ndugu na jamaa wa Manara walizuia asipigwe picha kwa madai kuwa wanamdhalilisha ndugu yao.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote