

Kampuni ya simu za mikononi ya Zain Tanzania jana mchana imemkabidhi gari jipya pichani aina ya Toyota Land Cruizer Bw.Willfred Maleko (28) Mkazi wa Mbezi ambaye ni mfanyakazi wa Taifa Bima ya Afya,Willfred amezawadiwa gari hiyo baada ya kuibuka mshindi kwenye promosheni ya Ongea Uzawadiwe na Zain katika makao makuu ya Kampuni ya hiyo Kijitonyama jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment