Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, February 18, 2010

Obama kukutana na Dalai Lama

Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kukutana hii leo na kiongozi wa kidini wa jimbo la Tibet, Dalai Lama licha ya vitisho vya China kwamba mkutano huo utavuruga zaidi uhusiano kati ya nchi hizo mbili. Rais Obama na Dalai Lama watakutana katika ikulu ya mjini Washington na hawatarajiwi kuonekana pamoja hadharani kama alivyofanya rais wa zamani wa Marekani Georg W Bush, wakati alipokutana na kiongozi huyo wa Tibet. China inamlaumu Dalai Lama kwa kuendeleza juhudi za kutaka jimbo la Tibet lijitenge na China. Rais Obama amesema anakutana na Dalai Lama anayeishi uhamishoni nchini India kwa kuwa ni kiongozi wa kiroho anayeheshimika kimataifa. Waziri wa mambo ya nchi za kigeni wa Marekani Hillary Clinton atakutanapia Dalai Lama mjini Washington.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote