Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Tuesday, February 23, 2010

Shakira kukutana na Rais Obama kujadili mambo ya Elimu kwa watoto

Shakira ambae ni Balozi wa UNICEF ana anayemilikia mfuko wake binafsi unaojulikana kama The Barefoot Foundation amekutana jana na Rais Obama kujadili masuala ya Elimu kwa watoto, inasemakana kuwa Shakira amekuwa mstari wa mbele katika kazi za jamii na kuzunguka sehemu nyingi duniani kusisitiza hayo na amesisitiza kuwa wamekubaliana na Obama kufanya kazi kwa karibu katika suala zima la kukuza uchumi, kupiga vita umaskini, na kuhakikisha usalama na Amani vinaongezeka.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote