Alex Freyre mwenye umri wa miaka 39 na Jose Maria Di Bello mwenye umri wa miaka 41 (pichani) wamekuwa watu wa kwanza kufunga ndoa za jinsia moja katika nchi za Latin America.
Alex alifunga ndoa na mpenzi wake Jose katika harusi iliyofanyika katika mji wa Ushuaia kusini mwa Argentina .Mashoga hao ambao wote wana ugonjwa wa ukimwi awali walipanga kufunga ndoa yao desemba 1 ambayo ni siku ya ukimwi duniani lakini jaji wa mahakama moja nchini humo aliweka pingamizi la kufanyika kwa ndoa hiyo. Jose na Alex walipata kibali cha kufunga ndoa ya jinsia moja mwezi novemba mwaka huu na kupewa ruhusa na mahakama kufunga ndoa katika mji mkuu wa nchi hiyo Buenos Aries.
Alex alifunga ndoa na mpenzi wake Jose katika harusi iliyofanyika katika mji wa Ushuaia kusini mwa Argentina .Mashoga hao ambao wote wana ugonjwa wa ukimwi awali walipanga kufunga ndoa yao desemba 1 ambayo ni siku ya ukimwi duniani lakini jaji wa mahakama moja nchini humo aliweka pingamizi la kufanyika kwa ndoa hiyo. Jose na Alex walipata kibali cha kufunga ndoa ya jinsia moja mwezi novemba mwaka huu na kupewa ruhusa na mahakama kufunga ndoa katika mji mkuu wa nchi hiyo Buenos Aries.
1 comment:
"If anybody tells you they expected any of this they're lying," Mackie told CNN during an interview to promote another movie, his Sundance film "Night Catches Us" this week. [url=http://www.mulberryhandbagssale.co.uk]Mulberry uk[/url] I'd like it to be fairly easily updated, but the app is deployed via clickonce and total number of users will be under 100 for the foreseeable future. [url=http://www.goosecoatsale.ca]canada goose chilliwack[/url] Oucnbvvba
[url=http://www.pandorajewelryvip.co.uk]pandora store[/url] Lqdnaduuj [url=http://www.officialcanadagooseparkae.com]canada goose[/url] dcpsqzzqg
Post a Comment