MTUNISHA misuli wa Tanzania, David Nyombo(pichani) ameshika nafasi ya pili ya mashindano ya kumtafuta mtunisha misuli bora wa Afrika (Mr. Africa 2009) nchini Mauritius.
Katika mashindano hayo, mtunisha misuli wa Misri aliibuka mshindi na kuzawadiwa medali ya dhahabu huku Nyombo alizawadiwa medali ya fedha.
Katika mashindano hayo, mtunisha misuli wa Misri aliibuka mshindi na kuzawadiwa medali ya dhahabu huku Nyombo alizawadiwa medali ya fedha.
No comments:
Post a Comment