Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Thursday, December 31, 2009

Mchungaji huyu Adaiwa Kutekwa


Mchungaji huyo wa kanisa la kijiji cha Makurunge, inadaiwa alitekwa juzi. Kaka wa mchungaji huyo, Bw. Emmanuel Ntungu ameyaambia baadhi ya magazeti kuwa tangu jana usiku yuko na askari polisi wakijaribu kumtafuta ndugu yake ambaye inadaiwa amefichwa na watekaji kwenye jumba moja lililo karibu na bahari. “Jana niliitwa polisi wakanihoji na jioni waliandika maelezo…ndipo kazi ya kuanza kumsaka ikaanza lakini hadi sasa hatujaambulia kitu,’’ amesema.Amesema ndugu zao wengine wameanza kuzunguka kwenye hospitali mbalimbali na vituo vya usalama kujaribu kumtafuta Mchungaji Michael. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni Mark Kalunguyeye, amesema bado wanafuatilia tukio hilo.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote