Uwepo wa Site hii Unategemea sana Ushirikiano wangu na wako, na ni njia mojawapo ya kuonyesha mshikamano na Jamii inayotuzunguka , PLS Usisite kunitumia Habari au kitu chochote chenye Uhakika ambacho hisia zako zitakupeleka kuwa kitaleta Mabadiliko na mafunzo katika jamii, Kumbuka kuwa msaada si Fedha wala Lulu bali chochote kinachoweza kuleta mabadiliko katika Maisha ya mtu mwingine. Kwa lolote usisite kuwasiliana nami kupitia chingasite@gmail.com au tumainijhn@yahoo.co.uk au simu No. 0712221744 na 0787221744. Karibuni Wote
Powered By Blogger

Friday, December 18, 2009

Mungu ilaza pema Peponi Roho ya Marehemu VUMI URASA


Majonzi na huzuni vimetawala wakati wa kumuaga aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya The Guardian Limited, marehemu Vumi Urasa, kwenye misa maalumu iliyofanyika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Magomeni jijini Dar es Salaam. Urasa alifariki dunia Jumanne wiki hii kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam . Baada ya mwili wake kuagwa ulisafirishwa kwenda Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kwa mazishi yatakayofanyika leo. Marehemu Urasa ameacha mke, watato watatu na mjukuu mmoja.

No comments:

VJN Super Motors

Wauzaji Mahiri wa Spare za Pikipiki na Magari yote toka Europe na Japan, Tupo Mtaa wa Msikitini Musoma Mjini, Pia tunaweza kutoa hudumu kwa watu wa Dar es salaam, Wasiliana nasi kwa Sanduku la Barua 557 Musoma, Simu No. 0282620610 , Barua pepe : vincent_nye@yahoo.co.uk. Karibuni wote